Waroma 9:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yaani, watoto katika mwili si watoto wa Mungu kihalisi,+ lakini watoto kupitia ahadi+ ndio wanaohesabiwa kuwa uzao.* Wagalatia 3:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Isitoshe, ikiwa ninyi ni wa Kristo, ninyi kwa kweli ni uzao wa* Abrahamu,+ warithi+ kuhusiana na ahadi.+
8 Yaani, watoto katika mwili si watoto wa Mungu kihalisi,+ lakini watoto kupitia ahadi+ ndio wanaohesabiwa kuwa uzao.*
29 Isitoshe, ikiwa ninyi ni wa Kristo, ninyi kwa kweli ni uzao wa* Abrahamu,+ warithi+ kuhusiana na ahadi.+