Mwanzo 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ndipo akamtoa nje na kumwambia: “Tafadhali, tazama juu mbinguni uzihesabu nyota, ikiwa unaweza kuzihesabu.” Kisha akamwambia: “Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.”*+ Waebrania 11:17, 18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa imani, Abrahamu alipojaribiwa,+ ni kana kwamba alimtoa Isaka—mtu huyo aliyekuwa amezipokea ahadi kwa furaha alijaribu kumtoa mwana wake mzaliwa-pekee+— 18 ingawa alikuwa ameambiwa: “Ule utakaoitwa uzao* wako utapitia kwa Isaka.”+
5 Ndipo akamtoa nje na kumwambia: “Tafadhali, tazama juu mbinguni uzihesabu nyota, ikiwa unaweza kuzihesabu.” Kisha akamwambia: “Ndivyo utakavyokuwa uzao wako.”*+
17 Kwa imani, Abrahamu alipojaribiwa,+ ni kana kwamba alimtoa Isaka—mtu huyo aliyekuwa amezipokea ahadi kwa furaha alijaribu kumtoa mwana wake mzaliwa-pekee+— 18 ingawa alikuwa ameambiwa: “Ule utakaoitwa uzao* wako utapitia kwa Isaka.”+