16 Kwa maana siionei aibu habari njema;+ kwa kweli, hiyo ni nguvu za Mungu kwa ajili ya wokovu kwa kila mtu aliye na imani,+ kwanza kwa Myahudi+ na pia kwa Mgiriki.+
3 Jambo hilo ni zuri na linampendeza Mwokozi wetu, Mungu,+4 ambaye mapenzi yake ni kwamba watu wa namna zote waokolewe+ na kupata ujuzi sahihi wa kweli.