Zaburi 118:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Jiwe ambalo wajenzi walilikataaLimekuwa jiwe kuu la pembeni.*+ Mathayo 21:42 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Yesu akawaambia: “Je, hamkusoma kamwe katika Maandiko kwamba ‘Jiwe ambalo wajenzi walilikataa limekuwa jiwe kuu la pembeni.*+ Hili limetoka kwa Yehova,* na ni lenye kustaajabisha machoni petu’?+
42 Yesu akawaambia: “Je, hamkusoma kamwe katika Maandiko kwamba ‘Jiwe ambalo wajenzi walilikataa limekuwa jiwe kuu la pembeni.*+ Hili limetoka kwa Yehova,* na ni lenye kustaajabisha machoni petu’?+