Mambo ya Walawi 18:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ni lazima mshike amri zangu na sheria zangu;* yeyote anayefanya hivyo ataishi kupitia hizo.+ Mimi ni Yehova. Wagalatia 3:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Sasa Sheria haitegemei imani. Badala yake, “yeyote anayefanya mambo hayo ataishi kupitia mambo hayo.”+
5 Ni lazima mshike amri zangu na sheria zangu;* yeyote anayefanya hivyo ataishi kupitia hizo.+ Mimi ni Yehova.
12 Sasa Sheria haitegemei imani. Badala yake, “yeyote anayefanya mambo hayo ataishi kupitia mambo hayo.”+