20 “Mkombozi+ atakuja Sayuni,+
Kwa wale wa Yakobo wanaoacha makosa yao,”+ asema Yehova.
21 “Lakini mimi, hili ndilo agano langu pamoja nao,”+ asema Yehova. “Roho yangu iliyo juu yako na maneno yangu niliyoweka kinywani mwako—hayataondolewa kutoka kinywani mwako, kutoka kinywani mwa watoto wako, au kutoka kinywani mwa wajukuu wako,” asema Yehova, “kuanzia sasa mpaka milele.”