Isaya 49:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Inua macho yako utazame pande zote. Wote wanakusanyika pamoja.+ Wanakuja kwako. “Kwa hakika kama ninavyoishi,” asema Yehova,“Utajivika hao wote kana kwamba ni mapambo,Nawe utajifunga watu hao kama bibi harusi anavyofanya.
18 Inua macho yako utazame pande zote. Wote wanakusanyika pamoja.+ Wanakuja kwako. “Kwa hakika kama ninavyoishi,” asema Yehova,“Utajivika hao wote kana kwamba ni mapambo,Nawe utajifunga watu hao kama bibi harusi anavyofanya.