Zaburi 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kinywa chake kimejaa laana, uwongo, na vitisho;+Chini ya ulimi wake kuna taabu na madhara.+ Yakobo 3:8, 9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini hakuna mwanadamu anayeweza kuufuga ulimi. Ulimi ni kitu kitundu chenye kudhuru, kilichojaa sumu yenye kuua.+ 9 Kwa ulimi tunamsifu Yehova,* aliye Baba, na bado kwa ulimi tunawalaani wanadamu ambao wameumbwa “kwa mfano wa Mungu.”+
8 Lakini hakuna mwanadamu anayeweza kuufuga ulimi. Ulimi ni kitu kitundu chenye kudhuru, kilichojaa sumu yenye kuua.+ 9 Kwa ulimi tunamsifu Yehova,* aliye Baba, na bado kwa ulimi tunawalaani wanadamu ambao wameumbwa “kwa mfano wa Mungu.”+