5 Kwa maana mnajua hili, nanyi mnalitambua wenyewe, kwamba hakuna mwasherati*+ au mtu asiye safi au mtu mwenye pupa,+ maana yake mtu anayeabudu sanamu, aliye na urithi wowote katika Ufalme wa Kristo na wa Mungu.+
15 Nje kuna mbwa* na wale walio na mazoea ya kuwasiliana na roho, waasherati,* wauaji, waabudu-sanamu, na kila mtu anayependa uwongo na aliye na mazoea ya kusema uwongo.’+