1 Wakorintho 10:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mambo yote ni halali,* lakini si mambo yote yaliyo na faida. Mambo yote ni halali, lakini si mambo yote yanayojenga.+
23 Mambo yote ni halali,* lakini si mambo yote yaliyo na faida. Mambo yote ni halali, lakini si mambo yote yanayojenga.+