28 Lakini yeyote akiwaambia, “Hiki ni kitu kilichotolewa katika dhabihu,” msile kwa sababu ya yule aliyewaambia na kwa sababu ya dhamiri.+ 29 Simaanishi dhamiri yako mwenyewe, bali ya yule mtu mwingine. Kwa maana kwa nini uhuru wangu uhukumiwe na dhamiri ya mtu mwingine?+