9 Msichukue dhahabu, fedha, wala shaba kwenye mishipi yenu ya pesa,+10 wala mfuko wa chakula kwa ajili ya safari, wala mavazi mawili,* wala viatu, wala fimbo,+ kwa maana mfanyakazi anastahili chakula chake.+
7 Basi kaeni katika nyumba hiyo,+ na mle na kunywa watakachowaandalia,+ kwa maana mfanyakazi anastahili mshahara wake.+ Msihame kutoka nyumba mpaka nyumba.
8 “Pia, mkiingia katika jiji nanyi mkaribishwe, kuleni watakachowapa,