-
1 Wakorintho 15:27, 28Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
27 Kwa maana Mungu “alivitiisha vitu vyote chini ya miguu yake.”+ Lakini anaposema ‘vitu vyote vimetiishwa,’+ ni wazi kwamba hilo halimhusu Yule aliyevitiisha vitu vyote chini yake.+ 28 Lakini vitu vyote vitakapotiishwa kwake, ndipo Mwana mwenyewe atakapojitiisha pia kwa Yule aliyevitiisha vitu vyote kwake,+ ili Mungu awe vitu vyote kwa kila mtu.+
-