21 Kwa hiyo Yehova Mungu akamletea mwanamume huyo usingizi mzito, na alipokuwa akilala, akachukua ubavu wake mmoja na kufunika nyama mahali hapo. 22 Na Yehova Mungu akaufanya ubavu aliochukua kutoka kwa mwanamume uwe mwanamke, naye akamleta kwa mwanamume huyo.+