Waroma 10:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana Kristo ndiye mwisho wa Sheria,+ ili kila mtu aliye na imani* awe na uadilifu.+ 2 Wakorintho 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yule ambaye hakujua dhambi+ alimfanya kuwa dhambi* kwa ajili yetu, ili kupitia yeye tuwe uadilifu wa Mungu.+
21 Yule ambaye hakujua dhambi+ alimfanya kuwa dhambi* kwa ajili yetu, ili kupitia yeye tuwe uadilifu wa Mungu.+