Matendo 2:6, 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Basi sauti hiyo ilipotokea, umati ukakusanyika na kustaajabu, kwa sababu kila mmoja wao aliwasikia wakiongea katika lugha yake mwenyewe. 7 Kwa kweli, walishangaa sana na kusema: “Tazama, hawa wote wanaoongea ni Wagalilaya,+ sivyo?
6 Basi sauti hiyo ilipotokea, umati ukakusanyika na kustaajabu, kwa sababu kila mmoja wao aliwasikia wakiongea katika lugha yake mwenyewe. 7 Kwa kweli, walishangaa sana na kusema: “Tazama, hawa wote wanaoongea ni Wagalilaya,+ sivyo?