24 nayo ni zawadi ya bure+ kwamba wanatangazwa kuwa waadilifu kwa fadhili zake zisizostahiliwa+ kupitia kuachiliwa huru kwa njia ya fidia ambayo Kristo Yesu alilipa.+
13 Alituokoa kutoka kwenye mamlaka ya giza+ na kutuingiza katika ufalme wa Mwana wake mpendwa, 14 ambaye kupitia kwake tunaachiliwa huru kwa fidia, kusamehewa dhambi zetu.+