16 Na hekalu la Mungu lina makubaliano gani na sanamu?+ Kwa maana sisi ni hekalu la Mungu aliye hai;+ kama Mungu alivyosema: “Mimi nitakaa miongoni mwao+ na kutembea miongoni mwao, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+
5 ninyi wenyewe pia kama mawe yaliyo hai mnajengwa kuwa nyumba ya kiroho+ kusudi muwe ukuhani mtakatifu, ili kutoa dhabihu za kiroho+ zenye kukubalika kwa Mungu kupitia Yesu Kristo.+