2 Timotheo 2:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 tukiendelea kuvumilia, tutatawala pamoja pia tukiwa wafalme;+ tukimkana, naye pia atatukana sisi;+ Ufunuo 3:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yule atakayeshinda+ nitampa ruhusa ya kuketi pamoja nami kwenye kiti changu cha ufalme,+ kama vile nilivyoshinda na kuketi+ pamoja na Baba yangu kwenye kiti chake cha ufalme.
12 tukiendelea kuvumilia, tutatawala pamoja pia tukiwa wafalme;+ tukimkana, naye pia atatukana sisi;+
21 Yule atakayeshinda+ nitampa ruhusa ya kuketi pamoja nami kwenye kiti changu cha ufalme,+ kama vile nilivyoshinda na kuketi+ pamoja na Baba yangu kwenye kiti chake cha ufalme.