Wagalatia 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 watoto wangu wadogo,+ ambao tena nina uchungu wa kuwazaa mpaka Kristo atakapofanyizwa* ndani yenu. 1 Wathesalonike 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mnajua jinsi tulivyoendelea kumhimiza, kumfariji, na kumshauri kila mmoja wenu,+ kama baba+ anavyowatendea watoto wake,
19 watoto wangu wadogo,+ ambao tena nina uchungu wa kuwazaa mpaka Kristo atakapofanyizwa* ndani yenu.
11 Mnajua jinsi tulivyoendelea kumhimiza, kumfariji, na kumshauri kila mmoja wenu,+ kama baba+ anavyowatendea watoto wake,