Ezekieli 20:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Kwa sababu ya harufu inayopendeza,* nitafurahishwa nanyi nitakapowatoa kati ya mataifa na kuwakusanya pamoja kutoka katika nchi ambazo mmetawanywa;+ nami nitatakaswa kati yenu mbele ya macho ya mataifa.’+ 2 Wakorintho 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa tuna ahadi hizi,+ acheni tujisafishe kila unajisi wa mwili na roho,+ tukiukamilisha utakatifu katika kumwogopa Mungu.
41 Kwa sababu ya harufu inayopendeza,* nitafurahishwa nanyi nitakapowatoa kati ya mataifa na kuwakusanya pamoja kutoka katika nchi ambazo mmetawanywa;+ nami nitatakaswa kati yenu mbele ya macho ya mataifa.’+
7 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa tuna ahadi hizi,+ acheni tujisafishe kila unajisi wa mwili na roho,+ tukiukamilisha utakatifu katika kumwogopa Mungu.