1 Wakorintho 7:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Sasa kuhusu mabikira,* sina amri kutoka kwa Bwana, lakini ninatoa maoni yangu+ nikiwa mtu aliyeonyeshwa rehema na Bwana kuwa mwaminifu.
25 Sasa kuhusu mabikira,* sina amri kutoka kwa Bwana, lakini ninatoa maoni yangu+ nikiwa mtu aliyeonyeshwa rehema na Bwana kuwa mwaminifu.