Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 16:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa maana Mwana wa binadamu atakuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake, kisha atamlipa kila mtu kulingana na mwenendo wake.+

  • Wafilipi 3:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa maana kuna wengi—nilikuwa nikiwataja mara nyingi lakini sasa ninawataja pia nikilia—wanaotembea kama adui za mti wa mateso* wa Kristo. 19 Mwisho wao ni uharibifu, na mungu wao ni tumbo lao, na utukufu wao kwa kweli ni aibu yao, na akili zao zinafikiria vitu vya duniani.+

  • 2 Timotheo 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Aleksanda yule fundi wa shaba alinisababishia madhara mengi. Yehova* atamlipa kulingana na matendo yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki