18 Kwa maana kuna wengi—nilikuwa nikiwataja mara nyingi lakini sasa ninawataja pia nikilia—wanaotembea kama adui za mti wa mateso wa Kristo. 19 Mwisho wao ni uharibifu, na mungu wao ni tumbo lao, na utukufu wao kwa kweli ni aibu yao, na akili zao zinafikiria vitu vya duniani.+