Matendo 16:23, 24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Baada ya kuwapiga sana, wakawatupa gerezani na kumwagiza mlinzi wa jela awalinde.+ 24 Kwa sababu alipewa agizo hilo, akawatupa katika gereza la ndani zaidi na kuifunga miguu yao katika mikatale.
23 Baada ya kuwapiga sana, wakawatupa gerezani na kumwagiza mlinzi wa jela awalinde.+ 24 Kwa sababu alipewa agizo hilo, akawatupa katika gereza la ndani zaidi na kuifunga miguu yao katika mikatale.