4 Kwa maana kutokana na dhiki nyingi na maumivu ya moyo niliwaandikia kwa machozi mengi, si ili niwahuzunishe,+ bali niwajulishe kina cha upendo wangu kwenu.
2Kwa maana ninataka mjue jinsi ninavyopambana sana kwa ajili yenu na kwa ajili ya wale walio huko Laodikia+ na kwa ajili ya wote ambao hawajaniona mimi binafsi.*