1 Wakorintho 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwanza, acheni mtu ajichunguze mwenyewe na kuona kama anafaa,+ ndipo ale mkate na anywe kikombe. Wagalatia 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Lakini kila mmoja na achunguze matendo yake mwenyewe,+ kisha atakuwa na sababu ya kushangilia kuhusiana na yeye mwenyewe, na si kwa kujilinganisha na mtu mwingine.+
4 Lakini kila mmoja na achunguze matendo yake mwenyewe,+ kisha atakuwa na sababu ya kushangilia kuhusiana na yeye mwenyewe, na si kwa kujilinganisha na mtu mwingine.+