6 Lakini sasa tumewekwa huru kutoka katika Sheria,+ kwa sababu tumekufa kwa kile ambacho kilituzuia, ili tuwe watumwa katika maana mpya kwa roho,+ wala si katika maana ya zamani kwa sheria zilizoandikwa.+
15 Kupitia mwili wake aliufuta uadui, ile Sheria iliyokuwa na amri na maagizo, ili afanye vile vikundi viwili katika muungano na yeye mwenyewe viwe mtu mmoja mpya+ na kufanya amani,