25 Basi akaenda Tarso kumtafuta Sauli.+ 26 Baada ya kumpata, akamleta Antiokia. Basi kwa mwaka mzima wakakusanyika pamoja nao katika kutaniko na kufundisha umati mkubwa, na huko Antiokia ndiko kwa mara ya kwanza wanafunzi waliitwa Wakristo+ kupitia mwongozo wa Mungu.