-
Matendo 21:20, 21Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
20 Baada ya kusikia jambo hilo, wakaanza kumtukuza Mungu, lakini wakamwambia: “Ndugu, unaona jinsi ambavyo maelfu ya Wayahudi wamekuwa waamini, na wote wanafuata Sheria kwa bidii.+ 21 Lakini wamesikia uvumi kukuhusu kwamba umekuwa ukiwafundisha Wayahudi wote kati ya mataifa kuiasi sheria ya Musa, ukiwaambia wasiwatahiri watoto wao wala kufuata desturi zilizowekwa.+
-