6 kwa kweli kwetu kuna Mungu mmoja+ aliye Baba,+ ambaye vitu vyote vimetoka kwake na sisi kwa ajili yake;+ na kuna Bwana mmoja, Yesu Kristo, ambaye vitu vyote vimepitia kwake+ na sisi kupitia kwake.
5 na kuna huduma mbalimbali,+ na bado kuna Bwana yuleyule; 6 na kuna utendaji* mbalimbali, na bado ni Mungu yuleyule anayefanya utendaji huo wote katika kila mtu.+