Waefeso 6:21, 22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi ili ninyi pia mjue kunihusu na jinsi ninavyoendelea, Tikiko,+ ndugu mpendwa na mhudumu mwaminifu katika Bwana, atawajulisha mambo yote.+ 22 Ninamtuma kwenu kwa kusudi hili, ili mjue jinsi tunavyoendelea na aifariji mioyo yenu.
21 Basi ili ninyi pia mjue kunihusu na jinsi ninavyoendelea, Tikiko,+ ndugu mpendwa na mhudumu mwaminifu katika Bwana, atawajulisha mambo yote.+ 22 Ninamtuma kwenu kwa kusudi hili, ili mjue jinsi tunavyoendelea na aifariji mioyo yenu.