Matendo 17:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hata hivyo, wale waliomsindikiza Paulo wakaenda naye mpaka Athene, kisha wakarudi baada ya kupokea maagizo kwamba Sila na Timotheo+ wamfuate Paulo haraka iwezekanavyo.
15 Hata hivyo, wale waliomsindikiza Paulo wakaenda naye mpaka Athene, kisha wakarudi baada ya kupokea maagizo kwamba Sila na Timotheo+ wamfuate Paulo haraka iwezekanavyo.