1 Timotheo 5:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Vilevile wanakuwa na tabia ya kupoteza muda, wakizunguka kutoka nyumba moja hadi nyingine; ndiyo, hawapotezi muda tu, bali pia wanapiga porojo na kujiingiza katika mambo ya watu wengine,+ wakiongea kuhusu mambo ambayo hawapaswi. 1 Petro 4:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hata hivyo, yeyote kati yenu asiteseke kwa sababu yeye ni muuaji au mwizi au mkosaji au mtu anayejiingiza katika mambo ya watu wengine.+
13 Vilevile wanakuwa na tabia ya kupoteza muda, wakizunguka kutoka nyumba moja hadi nyingine; ndiyo, hawapotezi muda tu, bali pia wanapiga porojo na kujiingiza katika mambo ya watu wengine,+ wakiongea kuhusu mambo ambayo hawapaswi.
15 Hata hivyo, yeyote kati yenu asiteseke kwa sababu yeye ni muuaji au mwizi au mkosaji au mtu anayejiingiza katika mambo ya watu wengine.+