29 Ninajua kwamba nitakapoondoka mbwamwitu wenye kukandamiza wataingia miongoni mwenu+ nao hawatalitendea kundi kwa wororo, 30 na kutoka miongoni mwenu watu watasimama na kusema mambo yaliyopotoka ili kuwavuta wanafunzi wawafuate wao wenyewe.+
3 Pia, watawatumia ninyi vibaya kwa pupa wakisema maneno ya uwongo. Lakini hukumu yao iliyoamuliwa zamani za kale,+ haikawii, na maangamizi yao hayalali.+