20 Timotheo, linda yote uliyokabidhiwa,+ jiepushe na maneno matupu yanayochafua mambo matakatifu na pia uepuke mawazo yanayopingana ya “ujuzi” wa uwongo.+
13 Ushahidi huu ni wa kweli. Kwa sababu hiyo endelea kuwakaripia kwa ukali ili wawe na imani yenye afya, 14 na wasisikilize hadithi za uwongo za Kiyahudi na amri za watu ambao wanaiacha kweli.