23 Si hilo tu, bali sisi wenyewe pia tulio na matunda ya kwanza, yaani, ile roho, ndiyo, sisi wenyewe tunaugua ndani yetu wenyewe,+ huku tukingojea kwa hamu kufanywa kuwa wana,+ kuachiliwa huru kutoka kwenye miili yetu kupitia fidia.
17 Kwa hiyo, ikiwa yeyote yuko katika muungano na Kristo, yeye ni kiumbe kipya;+ mambo ya zamani yalipitilia mbali; tazama! mambo mapya yamekuja kuwapo.