1 Wakorintho 11:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana lazima kutakuwa na madhehebu miongoni mwenu,+ ili wale waliokubaliwa kati yenu waonekane. Ufunuo 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Hata hivyo, ninakusifu kwa jambo hili: kwamba unachukia matendo ya madhehebu ya Nikolao,+ ambayo mimi pia ninayachukia.
19 Kwa maana lazima kutakuwa na madhehebu miongoni mwenu,+ ili wale waliokubaliwa kati yenu waonekane.
6 Hata hivyo, ninakusifu kwa jambo hili: kwamba unachukia matendo ya madhehebu ya Nikolao,+ ambayo mimi pia ninayachukia.