Waroma 16:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sasa ninawahimiza ninyi, akina ndugu, waangalieni wale wanaosababisha migawanyiko na kuweka vikwazo kinyume cha fundisho ambalo mmejifunza, nanyi mjiepushe nao.+ 2 Yohana 10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mtu yeyote akija kwenu naye haleti fundisho hili, msimpokee nyumbani mwenu+ wala kumsalimu.
17 Sasa ninawahimiza ninyi, akina ndugu, waangalieni wale wanaosababisha migawanyiko na kuweka vikwazo kinyume cha fundisho ambalo mmejifunza, nanyi mjiepushe nao.+