Mathayo 7:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Kwa hiyo, kila mtu anayesikia haya maneno yangu na kuyatenda ni kama mtu mwenye busara aliyejenga nyumba yake kwenye mwamba.+ Luka 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Lakini Yesu akasema: “Hapana, badala yake, wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika!”+ Yohana 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ikiwa mnajua mambo haya, mtakuwa wenye furaha mkiyatenda.+
24 “Kwa hiyo, kila mtu anayesikia haya maneno yangu na kuyatenda ni kama mtu mwenye busara aliyejenga nyumba yake kwenye mwamba.+
28 Lakini Yesu akasema: “Hapana, badala yake, wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika!”+