Waroma 12:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Endeleeni kuwabariki wale wanaowatesa;+ muwe mkibariki msiwe mkilaani.+ 1 Wakorintho 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 na kufanya kazi ya taabu, tukifanya kazi kwa mikono yetu wenyewe.+ Tunapotukanwa, tunabariki;+ tunapoteswa, tunavumilia kwa subira;+
12 na kufanya kazi ya taabu, tukifanya kazi kwa mikono yetu wenyewe.+ Tunapotukanwa, tunabariki;+ tunapoteswa, tunavumilia kwa subira;+