4 Atawahukumu kwa haki watu wa hali ya chini,
Na kwa unyoofu atakaripia kwa ajili ya wapole wa dunia.
Ataipiga dunia kwa fimbo ya kinywa chake+
Na kuwaua waovu kwa pumzi ya midomo yake.+
5 Uadilifu utakuwa mshipi kiunoni mwake,
Na uaminifu mshipi wa kiuno chake.+