Mathayo 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Atamzaa mwana, nawe utamwita jina Yesu,*+ kwa maana atawaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao.”+ Yohana 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana Mungu hakumtuma Mwanawe ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe kupitia kwake.+ Yohana 12:47 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 47 Lakini ikiwa yeyote anasikia maneno yangu na hayashiki, simhukumu; kwa maana sikuja kuuhukumu ulimwengu, bali kuuokoa.+ Matendo 5:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Mungu alimwinua huyo kuwa Wakili Mkuu+ na Mwokozi+ kwenye mkono wake wa kuume,+ ili kuwapa Israeli toba na msamaha wa dhambi zao.+
21 Atamzaa mwana, nawe utamwita jina Yesu,*+ kwa maana atawaokoa watu wake kutoka katika dhambi zao.”+
17 Kwa maana Mungu hakumtuma Mwanawe ulimwenguni ili auhukumu ulimwengu, bali ulimwengu uokolewe kupitia kwake.+
47 Lakini ikiwa yeyote anasikia maneno yangu na hayashiki, simhukumu; kwa maana sikuja kuuhukumu ulimwengu, bali kuuokoa.+
31 Mungu alimwinua huyo kuwa Wakili Mkuu+ na Mwokozi+ kwenye mkono wake wa kuume,+ ili kuwapa Israeli toba na msamaha wa dhambi zao.+