1 Yohana 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hakuna mtu ambaye amemwona Mungu wakati wowote.+ Tukiendelea kupendana, Mungu hukaa ndani yetu na upendo wake unakamilishwa ndani yetu.+
12 Hakuna mtu ambaye amemwona Mungu wakati wowote.+ Tukiendelea kupendana, Mungu hukaa ndani yetu na upendo wake unakamilishwa ndani yetu.+