Yohana 5:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 ili wote wamheshimu Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba. Yeyote ambaye hamheshimu Mwana hamheshimu Baba aliyemtuma.+ 1 Timotheo 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 yeye peke yake asiyeweza kufa,+ anayeishi katika nuru isiyoweza kufikiwa+ na ambaye hakuna mwanadamu amemwona wala anayeweza kumwona.+ Kwake na kuwe na heshima na nguvu milele. Amina.
23 ili wote wamheshimu Mwana kama vile wanavyomheshimu Baba. Yeyote ambaye hamheshimu Mwana hamheshimu Baba aliyemtuma.+
16 yeye peke yake asiyeweza kufa,+ anayeishi katika nuru isiyoweza kufikiwa+ na ambaye hakuna mwanadamu amemwona wala anayeweza kumwona.+ Kwake na kuwe na heshima na nguvu milele. Amina.