Ufunuo 16:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nami nikasikia sauti kubwa kutoka katika patakatifu+ ikiwaambia wale malaika saba: “Nendeni mkamwage yale mabakuli saba ya hasira ya Mungu juu ya dunia.”+ Ufunuo 16:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Malaika wa tatu akamwaga bakuli lake ndani ya mito na chemchemi za maji.*+ Nazo zikawa damu.+
16 Nami nikasikia sauti kubwa kutoka katika patakatifu+ ikiwaambia wale malaika saba: “Nendeni mkamwage yale mabakuli saba ya hasira ya Mungu juu ya dunia.”+