16Nami nikasikia sauti kubwa kutoka katika patakatifu+ ikiwaambia wale malaika saba: “Nendeni mkamwage yale mabakuli saba ya hasira ya Mungu juu ya dunia.”+
12 Malaika wa sita akamwaga bakuli lake juu ya mto mkubwa Efrati,+ na maji yake yakakauka+ ili kutayarisha njia kwa ajili ya wafalme+ wanaotoka mashariki.*
17Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na mabakuli saba+ akaja na kuniambia: “Njoo, nitakuonyesha hukumu dhidi ya yule kahaba mkubwa anayekaa juu ya maji mengi,+