Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 16:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Nami nikasikia sauti kubwa kutoka katika patakatifu+ ikiwaambia wale malaika saba: “Nendeni mkamwage yale mabakuli saba ya hasira ya Mungu juu ya dunia.”+

  • Ufunuo 16:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Malaika wa sita akamwaga bakuli lake juu ya mto mkubwa Efrati,+ na maji yake yakakauka+ ili kutayarisha njia kwa ajili ya wafalme+ wanaotoka mashariki.*

  • Ufunuo 17:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Mmoja wa wale malaika saba waliokuwa na mabakuli saba+ akaja na kuniambia: “Njoo, nitakuonyesha hukumu dhidi ya yule kahaba mkubwa anayekaa juu ya maji mengi,+

  • Ufunuo 17:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Akaniambia: “Yale maji uliyoyaona, ambapo yule kahaba ameketi, yanamaanisha jamii za watu na umati na mataifa na lugha.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki