Amosi 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya jambo loloteKabla hajawafunulia watumishi wake manabii siri yake.+ Waebrania 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Zamani za kale, Mungu alizungumza na mababu zetu kupitia manabii katika pindi nyingi na kwa njia nyingi.+ Yakobo 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Akina ndugu, fuateni mfano wa manabii waliopatwa na uovu+ na kuonyesha subira+ na ambao walisema katika jina la Yehova.*+
7 Kwa maana Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova hatafanya jambo loloteKabla hajawafunulia watumishi wake manabii siri yake.+
1 Zamani za kale, Mungu alizungumza na mababu zetu kupitia manabii katika pindi nyingi na kwa njia nyingi.+
10 Akina ndugu, fuateni mfano wa manabii waliopatwa na uovu+ na kuonyesha subira+ na ambao walisema katika jina la Yehova.*+