Danieli 7:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Atasema maneno dhidi ya Aliye Juu Zaidi,+ naye ataendelea kuwanyanyasa watakatifu wa Aliye Mkuu Zaidi. Atakusudia kubadili nyakati na sheria, nao watatiwa mikononi mwake kwa wakati, nyakati, na nusu wakati.*+
25 Atasema maneno dhidi ya Aliye Juu Zaidi,+ naye ataendelea kuwanyanyasa watakatifu wa Aliye Mkuu Zaidi. Atakusudia kubadili nyakati na sheria, nao watatiwa mikononi mwake kwa wakati, nyakati, na nusu wakati.*+