Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • nwt uku. 30-uku. 31
  • Swali la 17: Biblia inawezaje kuisaidia familia yako?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Swali la 17: Biblia inawezaje kuisaidia familia yako?
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Swali la 17: Biblia inawezaje kuisaidia familia yako?

SWALI LA 17

Biblia inawezaje kuisaidia familia yako?

WAUME/BABA

“Vivyo hivyo, waume wanapaswa kuwapenda wake zao kama miili yao wenyewe. Mwanamume anayempenda mke wake anajipenda mwenyewe, kwa maana hakuna mtu anayeuchukia mwili wake, bali huulisha na kuutunza . . . Kila mtu kati yenu anapaswa kumpenda mke wake kama anavyojipenda mwenyewe.”

Waefeso 5:​28, 29, 33

“Nanyi akina baba, msiwe mkiwakasirisha watoto wenu, bali endeleeni kuwalea katika nidhamu na maagizo ya Yehova.”

Waefeso 6:4

WAKE

“Mke anapaswa kumheshimu sana mume wake.”

Waefeso 5:​33

“Enyi wake, jitiisheni kwa waume zenu, kwa kuwa inafaa katika Bwana.”

Wakolosai 3:​18

WATOTO

“Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika muungano na Bwana, kwa maana hilo ni jambo la uadilifu. ‘Mheshimu baba yako na mama yako,’ hiyo ndiyo amri ya kwanza yenye ahadi: ‘Ili mambo yakuendee vema nawe ukae muda mrefu duniani.’”

Waefeso 6:​1-3

“Enyi watoto, watiini wazazi wenu katika kila jambo, kwa maana hilo humpendeza Bwana.”

Wakolosai 3:​20

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki