Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w74 9/1 uku. 390
  • “Hakuna Kujifunza Biblia kwa Kweli Wakati Wo Wote”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Hakuna Kujifunza Biblia kwa Kweli Wakati Wo Wote”
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1974
  • Habari Zinazolingana
  • Wahudumu wa Mungu Ni Akina Nani Leo?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1983
  • Jina la Mungu na Watafsiri wa Biblia
    Jina la Mungu Litakaloendelea Milele
  • Ni Nani kwa Kweli Walio Wahudumu wa Mungu?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1989
  • Kupokea ‘Haja za Moyo Wangu’
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1986
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1974
w74 9/1 uku. 390

“Hakuna Kujifunza Biblia kwa Kweli Wakati Wo Wote”

◆ Dr. L. M. Muntingh, mkuu wa idara ya ujuzi wa Biblia katika Chuo Kikuu cha Stellenbosch katika Afrika ya Kusini, alitoa maelezo juu ya ulizo “Je! masomo ya ualimu wa dini yanachukua muda mwingi mno?” Katika Die Kerkbode (Februari 4, 1970, ukurasa wa 161), gazeti rasmi la kanisa la makanisa ya Kihollandi Yaliyotengemana katika Afrika ya Kusini, yeye aliandika:

“Mnamo masomo yote ya miaka saba, hakuna kujifunza Biblia kwa kweli wakati wo wote, kama awezavyo kushuhudia kila mhudumu. Matokeo ni kwamba ujuzi wa mhudumu kwa kawaida wa Biblia ya Kiafrikaans unaacha mengi ya kutamaniwa. Matokeo ni kwamba huduma yake inahasirika.”

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki